Saturday, February 7, 2015

NDOA ZA TAMADUNI(AFRIKA MASHARIKI)

African-wedding1
Nani alisema lazima uvae shela na gauni jeupe uonekane umependeza katika siku yako ya harusi?
Harusi za kitamaduni huhusisha kuchanganya maisha, familia mbili na hata jamii mbili.
Katika tamaduni zetu za kiafrika na kwingineko ndoa ni tendo takatifu, ndoa huunganisha mahusiano na kuimarisha jamii.
Ili ndoa za kitamaduni zitimie kuna mila zinafanywa na ili ikamilike zaidi watu huvaa nguo za asli/kiafrika.
Unaweza angalia picha hizi ukaona mitindo tofauti na kupata wazo jinsi gani mshono wa gauni lako litakua.
AfricanaaNguo ya kiafrika ila  mshono ni staili ya western.
african-bride-and-groom-dresses
African-weddingmix ya kiafrika na culture…
dsc0121alg
Mini na kanzu ya bazee…
IMG_0524Vitoto vya mbele visimamizi vimependeza pia.
IMGP5349vitenge na vitoto vya mbele vinawaka pia…
CHANZO;SHEREHEYETU BLOGSPOT.COM

No comments:

Post a Comment